10May

EARLY MOTHERS DAY ORCHIDS....


My hubby is the most thoughtful man in the whole world...

Since we wont be home with the kids on mothers' day which will be on Sunday, he came home with these beautiful

orchids for mommy......

Bhoke isnt too happy mommy wont be home on mothers' day....Poor baby!!!!


Tomorrow by this time i will be in the State we moving to....

Saturday morning tunaamkia kwenye house hunting with our realtor.....Ntachokaje....


I wish msijue napohamia mpaka nihame kabisa ila i cant help it maana the whole weekend ntakuwa huo mji na hubby keshaandaa mtoko wa mothersday

na itabidi tu nirushe picha....lol...

So chungulia humu Sunday to know where Mange Kimambi is moving to....lol..


PS: Mnaoshinda mtandanoni kumgoogle Mange mnapoteza muda hamtokuta bankruptcy report.......

Fanyeni yenu jamani......

10May

BONGOLICIOUS BEHAVIOUR!!!!!

New hair....New look.... I love it.....

Im getting my nails done tomorrow so staki kuambiwa kucha mbaya...hehehhehhe

 

Bongolicious African Print 3/4 Skirt available for sale on www.mybongolicious.com

 

 

Only 2 skirts left get yours now

www.mybongolicious.com

I made it today... hehehhehehhehe...

Post office swag....

 

Awwwww, this is what i came home to....

Logged into my daughter's Edmondo account to see her grades and Voila!!

It's offical my daughter is a little genius....

Im a proud mommy.....

09May

DIAMOND ALIWA DENDA KINGUVU UK......

Mange najua Diamond alikuboa sana kumfanyia vile mdogo wako ila naomba uwarushie wasomaji wako hii clip waone mademu wa UK walivyo na ukame wa wanaume. Demu ilibaki kidogo ambake Diamond stejini.

Yani Mange bora ungewaambia mademu wa nchi gani sijui wasiende kwenye show ila sio London yani wote wako kama huyo aliemla denda diamond kinguvu. Very Desperate for men.

 

 

09May

SIFURAHII TENDO....NAOMBA USHAURI......

Habari yako Mange. mimi nahitaji ushauri. Mimi niliolewa nikiwa bikira miaka 8 iliyopita, kusema ukweli nachukia mno tendo la ndoa, kwangu ni kama adhabu. Ningependa wadau wanishauri je ni maumbile yangu tu, yani nataka kujua je kuna wanawake wengine ambao hawafurahii tendo la ndoa au ni mimi peke yangu? mume wangu huwa anajaribu sana kuniandaa na tumenunua vitabu vingi tunasoma ila bado sioni mabadiliko. Je inawezekana nina tatizo au labda mume wangu hajui mapenzi? kusema ukweli nashindwa kujua kama ni yeye au mimi sababu sijawahi kuwa na mwanaume mwingine zaidi yake yeye mpaka napata kishawishi cha kujaribisha kufanya mapenzi na mwanaume mwingine ili nijue tatizo liko wapi.


Tuna watoto wawili tayari. Kwa hiyo tatizo sio uzazi ila ni kufurahia hilo tendo, natamani nimnyime ila naogopa atatembea nje. kwa kweli sijui cha kufanya


Kama ungependa kupewa ushauri  na wadau wa Mange Kimambi blog kwa lolote lile linalokukwaza maishani  tuma email kwenda This e-mail address is being protected from spambots. You need JavaScript enabled to view it

Hata kwa wale mnaonitumia email mnataka mimi peke yangu ndo niwape ushauri mtakuwa disappointed tu sababu sina muda wa kujibu email za ushauri kwa sababu i am extremely busy, so tafadhali ombeni ushari kwa wadau wote na sio mimi peke yangu.

09May

A WASTED DAY....LOL...

Leo niliamkia saloon....

Nimehama salon. uwiii my shoga Verronette wont be too happy....lol..

 

New hair

 

Shame on me... after spending half the day getting my hair done nikakuta post office wamefunga...

Mizigi ya watu itabidi nilale nayo till kesho....

Chezea mbongo.... Nywele kwanza then kazi... hahahahah

What a waste of a day.

 

So on Friday hubby and i are going to the state we will be moving to to find a house etc before we bring the kids....

I'm super excited about where we are moving to , cant wait to tell all y'all....

08May

LACE WIGS ZIPO MUJINI..........

Lace wigs zipo Kinondoni Muslim kwenye duka la DIVAS2006 kwa

Devota Diva....

kama hupajui piga number hizi 0655622376  and 0715494914......

Utakuta kifurushi chako kimeandikwa jina lako juu.....

 

PS. Wateja wa corset vuteni subira, nasubiri order inifikie from Columbia. Ikifika tu na mie natuma mzigo bongo fastaaa....

mnisamehe kwa kweli i had no order it takes this long to make an order from the manufacturer....Ningesema ninunue kwa retailer

bei ni kubwa mnooooo ndo maana nikaona nizifate huko huko.....

Beba pesa za shopping kabisaa maana kuna new arrivals za ukweeeee hapo DIVAS2006...

 

PS: Hivi mnajua kwamba posta yetu ipo very very efficient? mnajua huu mzigo nimeutuma kupitia posta?sio fed ex wala dhl na umefika

kwenye muda mzurii na haujaibiwa.... So kuanzia sasa ntakuwa natuma kwa post sababu its cheap aisee.....Yani nilikuwa sijui,ilikua

mtu akiniambia ananitumia kitu kwa posta nakata kumuuliza kama akili nzuri, maana nilikuwa naamini ukituma mzigo kwa posta lazma upotee au uibiwe.....

Kwa wale wafanya biashara wengine mlioko USA mliokuwa mnanitumia email kutaka kujua natumaje mizigo bongo, Now you know... Tumieni postaaaaaa